KIJIWENIBONGO@
Msichana mmoja kutoka kaunti ya bungoma sasa anataka hatua zichukuliwe dhidi ya daktari mmoja kwa kuhatarisha maisha yake.
Beatrice Maganga na taarifa hiyo.
Msichana mmoja kutoka kaunti ya bungoma sasa anataka hatua zichukuliwe dhidi ya daktari mmoja kwa kuhatarisha maisha yake.
Maureen Khaemba alifika
hospitali kuu ya bungoma kujifungua, lakini baada ya upasuaji, daktari
alisahau pamba tumboni mwake hali ambayo imemsababishia maumivu
chungu mzima.

No comments:
Post a Comment
KIJIWENI BONGO HAITAUSIKA NA MAONI YANAYOWEKWA NA WASOMAJI