Shule
ya Sekondari ya Mount Zion ina jumla ya vyumba 7 vya madarasa ambavyo
ilisajiliwa navyo kuhudumia wanafunzi 160 lakini sasa hivi wanafunzi
wameongezeka na kufikia 515 ambapo madarasa mengine yana wanafunzi mpaka
119 na wengine wanakalia ndoo badala ya viti.
Bwenini
Ni
ndani ya moja ya vyumba vya wasichana ambacho ndani yake kuna matandiko
haya na masanduku 13 ikimaanisha ndiyo idadi ya wasichana wanaolala
hapa. Mkuu
wa Wilaya ya Ilemela akizungumza huku machozi yakimlenga kutokana na
alichokiona shuleni hapo, aliagiza hatua za kisheria zichukuliwe dhidi
ya Mkurugenzi wa shule hiyo ya Mount Zion Ilemela.kijiweni bongo by paul koka
No comments:
Post a Comment
KIJIWENI BONGO HAITAUSIKA NA MAONI YANAYOWEKWA NA WASOMAJI
No comments:
Post a Comment
KIJIWENI BONGO HAITAUSIKA NA MAONI YANAYOWEKWA NA WASOMAJI