Saturday, April 27, 2013

OMBI: NATAFUTA MCHUMBA MWAMINIFU.....

kijiweni bongo by paul koka


mary ndo jina langu natokea kahama,na nina diploma, natafuta mchumba awe mkristo,mrefu, mweupe,asivute wala kunywa pombe,awe na kazi na elimu angalua
chuo kikuu,wacliana na mm kwa no.0758051743

......

mimi ni msichana mjasiri mali na pia msomi.mimi naishi arusha, ila kwa sasa nipo dar es salaam kwani ninasoma,napenda kuwa na rafiki ambaye ni msomi na
mcheshi msafi na mtafutaji.kiufupi mimi ni mchagga kwangu kabila si chagui namba zangu za simu ni 0766635368

------
 naitwa brian malembeka nipo dodoma natafuta mchumba wa kike alie serious na maisha anejua thamn ya kupendwa tutaependana nae ktk shida na raha anaejieshim mtaratibu mstaarabu alie tayar kupima sitafuti mchumba ku jishow off nahitaj wa kuwa nae maishan alie serious 0718546050 usibip sipend kubipiwa
-----
natafuta mchumba ambaye ni musabato umri wake miaka 18-30 elimu yake iwe kuanzia form four hadi chuo pia na mimi elimu yangu ni form four pia awe
mwenye kujipenda yeye na anaye penda watu wote.
Email  yake: mariammaiko@yahoo.com


KWA  MAOMBI  ZAIDI  YA  URAFI, MAPENZI,TEMBELEA  HAPA  

UMEZISOMA HIZI?

1 comment:

  1. Naitwa Antony nina miaka 25 natafuta mchumba umri 22-30 awe tayari kupima vvu na pia asiwe mlevi wa mvuta sigara

    ReplyDelete

KIJIWENI BONGO HAITAUSIKA NA MAONI YANAYOWEKWA NA WASOMAJI