Tuesday, June 10, 2014

KHAAAH KUMBE WEMA SEPETU ALI MAKE HAADLINE KWENYE TUZO ZA MTV ..ONA ALICHOSEMA MC HUYU

KIJIWENIBONGO@

Kama ilivyo kwa tuzo zozote maarufu duniani, mara nyingi ma’MC wa show hizo huwa wanapenda kumwaga maneno mengi sana ya utani, ila hii ni kali zaidi, bila kujijua mwenyewe wakati akiwa anaendelea kutangaza, alitokea kuwaponda watu maarufu duniani, akiwemo Kim Kardashian ambaye anajulikana kama ni mwanamke mwenye umbo zuri zaidi, “I’ve seen beautiful women here with butts that make ‘s look like(“nimekuja hapa nimeona wanawake wenye maumbo mazuri, yanavyomfanya Kim Kardashian aonekane kama Myle Cyrus”) – alitamka wazi wazi MC wa tuzo hizo za MTV MAMA.

NI SHIDAAH Mrembo Vera Sadika Awaacha Mashabiki Huo, Wabaki Midomo Wazi

KIJIWENIBONGO@



Mrembo Maarufu Kenya Vera Sadika Akifanya Yake Jukwaani Huku watazamaji wakimuangalia wakiwa hawaamini anachofanya ......

laana: PICHA 30 ZA KANGA MOKO LAKI SI PESA wakiwa kazini, 18+

KIJIWENIBONGO@
Haya mambo mengine tunapandishana presha tu mi nahemea juu juu tu hapa sijui ndio midadi?! Ebu naombeni maji ya kunywa.

KITU ndembe ndembe...kanga mpya ailoi maji......
!! kit6u ndembe ndembe....!!

kitu mwake waacha weeee....agha ghaaaaaaaa .......laki si pesa
milioni pocketman...!!

Hapa jamani kiu kimenishika maji sijui yapo wapi ninywe mie
Ndembe ndembe khaaa! kweli laki si pesa




Saturday, October 12, 2013

(Photo) Cheki gari hii mpya aliyoinunua msanii RICH MAVOKO

KIJIWENIBONGO@

Kupitia account yake ya Instagram msanii mkali wa bongo fleva anayeteka mabinti wengi mjini hapa amewaonyesha mashabiki wake gari yake mpya aliyoinunua. Gari hii ya Nissan ingawa sikuweza kujua kwa haraka haraka ni Nissan gani ameonekana akifurahia manufaa ya kazi zake anazozifanya kupitia jukwaani na aina ya maandishi anayoyaandika ili tu kujipatia ridhiki. Mbali ya hili gari kununua mtu mzima Mavoko anafumua mjengo mmoja wa hatari ingawa nimeambiwa nisiseme kwanza sehemu uliopo hadi ukamilike na kuamia ndio atasema amehamia wapi.

Screen Shot Photo's) Angalia jinsi video ya MIRROR itakavyokuwa na utamu wake ikitoka.

KIJIWENIBONGO@

 Ni kijana anayekuja kwa kasi sana katika tasnia hii ya bongo fleva anajulikana kwa jina la Mirror msanii ambaye anatokea kwenye ile kampuni ya Wema Sepetu inayoitwa ENDLESS FAME FILMS. Huu ni ujio wake mpya video inaitwa BABY na imesimamiwa na Dir Nisher hadi Dress Codes alivotupia mtoto huyu amesimamia Nisher, kwenye upande wa Wardrobe naambiwa kasimamia Martin Kadinda na kuhusu makeups amesimamia Wema Sepetu.

Tuesday, September 24, 2013

hHBARI NYETI

KIJIWENIBONGO@

VIDEO ZA MSHIRIKI WA TANZANIA AKIFANYA MAPENZI NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER


Mshiriki wa  kiume   wa  Tanzania, Nando  ametutia  aibu  baada  ya  uvumilivu  kumshinda  na  kuamua  kufanya  tendo la  ngono  hadharani  akiwa  katika  jumba  la  big  brother....

Kamera  za  BBA zinamuonesha  wazi  Nando  akikata  mauno  kwa  mwanadada  Selly wa  Ghana  mithili  ya  mtu  ambaye  hajawahi  fanya  tendo  hilo  kwa  miaka  200  iliyopita

                 << PART 2  IKO  HAPA>>>
Share this article :

0 comments :

SAKATA LA WAVULANA WALIOOTA MATITI NA JINSI JAMII ILIVYOWATENGA

KIJIWENIBONGO@


VIJANA watatu wa familia moja ya  Felipe Ramirez, wamepata balaa kubwa baada ya kuota matiti yaliyosababisha kuchekwa na vijana wenzao waliokuwa wakiwaona kuwa ni mashoga.

Vijana hao kutoka katika Jamhuri ya Dominica ni  Yeuri (17 ), Gabriel (11) na  Daniu Ramírez  (12),  hata hivyo, kwa sasa wanaishi kwa amani baada ya kufanyiwa upasuaji na kuondolewa matiti hayo. 
Baba yao mzazi, Felipe Ramirez alifanya jitihada ya kuomba msaada kupitia televisheni na magazeti ili wanawe wafanyiwe upasuaji kwani walikuwa wakiishi katika mateso kwenye jamii yao.
Baada ya kuomba msaada, Mkurugenzi wa Hospitali ya  Marcelino Velez Santana nchini humo, Dokta  Pedro Antonio Delgado aliamua kuwalipia gharama za upasuaji ambao ulichukua saa mbili.
Ramirez, alisema: “Wakati wanaingizwa katika chumba cha upasuaji nilikosa raha kwa kuhofia kama watatoka salama nao waliogopa lakini baada ya kutoka, wote tumefurahi sana.”

GUMZO LA JIJI;KIJIJI CHA NGONO CHAFICHULIWA HUKO SINZA,MAKAHABA WAAHIDI KUTOACHA KAZI HIYO HATA WAKIPELEKWA MAHAKAMANI..!!



Kwa mujibu wa takwimu za kiserikali, eneo hilo
(kuanzia Bamaga hadi Sinza Mori) limekubuhu kwa wasichana kujiuza nyakati za usiku huku makao yao makuu yakiwa eneo la Afrika Sana hasa pembezoni mwa Corner Bar.
Mmoja wa viongozi wa serikali ya mtaa ya eneo hilo ambaye aliomba jina lake lisiandikwe gazetini, alisema:

“Tumejitahidi sana kushirikiana na polisi ili kutokomeza ukahaba eneo hilo lakini wapi! Hawa mabinti ni wabishi, mbaya zaidi wamelifanya eneo hili kuwa la ngono.
“Watoto wetu wanapita usiku pale wanawaona wanavyofanya, wanatuharibia kizazi kijacho, kama wao wamejishindwa wasiwaambukize wengine.”

  TIMU ILIYOENDESHA OPERESHENI
Siku ya tukio, saa tisa usiku,  askari wa ulinzi shirikishi walijipanga kwa ajili ya kuufumua mtaa huo huku wakiwa na tahadhari kufuatia habari za kiintelijensia kudai kuwa, makahaba hao walipanga kuua mtu punde watakapovamiwa.
Askari hao wakiwa kwenye doria ya kila usiku, waliwavamia makahaba hao eneo lenye majani madogo katikati ya Afrika Sana na Mapambano upande wa yadi ya Mwanamboka wakiwa na wateja wao wakifanya ngono hadharani.
NUSURA DAMU IMWAGIKE
Katika hali iliyoonesha makahaba wamejiimarisha kwa ulinzi siku hizi, wakati wa zoezi hilo, machangu hao sanjari na vibaka  wanaowaunga mkono wakisemekana ni ‘walinzi’ wao, waliokota mawe na kuwarushia askari hao hali iliyozua tafrani zaidi.
Ndipo piga nikupige ilipozuka ambapo askari walionesha umahiri wao wa kupambana na wahalifu kwa kuwadhibiti kwa vichapo vya hapa na pale na kufanikiwa kuwaweka wengi chini ya ulinzi.
Kuona hivyo, baadhi ya makahaba na wateja wao walifanikiwa kuwachoropoka askari bila nguo na kutokomea gizani hivyo kulifanya eneo hilo kuwa jeupe.



WENGINE WAKIMBIA NA KUACHA NGUO ZA NDANI
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, baadhi ya makahaba waliokimbia walijikuta wakiacha kwenye majani nguo zao za ndani na kuzua maswali kwamba ni kwa nini hawakuwa wamezivaa!
“Jamani hizi si nguo zao za ndani? Ina maana wakiwa kazini hawavai siyo? Wanakuwa tayaritayari kwa kazi? Jamani!” alisema kwa mshangao mkubwa mmoja wa askari hao.
MAKAHABA WALIONASWA WALONGA
Licha ya kuwa chini ya ulinzi mkali, baadhi ya makahaba walionaswa walikuwa wakiwalalamikia askari hao kwamba wanawafuatafuata wakati kila mtu siku hizi anaangalia atakulaje!
“Mnatuonea bure, nyie mnakula kivyenu na sisi mngetuacha tule kivyetu, hao watoto wenu mnaosema tunawaharibu usiku huu wao wanatokea wapi na wanakwenda wapi?” alisikika akisema kahaba mmoja aliyekuwa mtata kuwekwa chini ya ulinzi.
Mwingine akadakia: Kama mnataka tuwape uroda si mseme, mnatukamata kila siku kwani tunawatibulia nini majumbani mwenu? Lini tumekuja kuwaghasi wakati mmelala na wake zenu?”
Uchunguzi wa kawaida ulibaini kuwa muda rasmi wa makahaba hao kuwasili eneo la Corner Bar ili kuanza ‘kazi’ ni saa mbili usiku japokuwa wapo wanaoripoti mapema na kufanya biashara hiyo kwa wizi kulingana na wateja wenye ‘kiu’ nyakati hizo.
AHADI YA MAKAHABA
Licha ya kuwa chini ya ulinzi, makahaba hao waliahidi endapo watapelekwa polisi na kutoka watarejea eneo hilo kujiuza kwani ndiyo ajira inayowafanya waendelee kuishi katika Jiji la Dar es Salaam, kusomesha watoto vijijini kwao na kuwasaidia wazazi wao mahitaji mbalimbali.
“Hata kama mtatupeleka polisi, tutarudi tu hapa, sisi tunasomesha watoto, tunasaidia wazazi wetu vijijini, pia tunaishi Dar kwa sababu ya kipato hiki cha kuuza miili yetu, acheni hizo,” mmoja wa makahaba hao alisema bila kumung’unya maneno.



MWENYEJI WA MTAA ANENA
Akizungumza na paparazi wetu eneo la tukio, mkazi mmoja wa eneo hilo ambaye pia ni askari wa ulinzi shirikishi alisema:
“Kufuatia vitendo hivi kushamiri hapa mtaani hadi kufikia hatua ya makahaba na wateja wao kufanya ngono hadharani kama wanyama, tuliamua kukimbilia polisi kutoa taarifa, kwa hiyo tuna baraka za serikali za kuwatokomeza hawa machangu.”

NDIYO DAWA?
Mapaparazi wa Global Publishers wana uzoefu na makahaba wa mtaa huo unaoanzia Bamaga hadi Sinza Mori, ni wagumu kubadilika.
Mara kadhaa, OFM imekuwa ikiwafumua makahaba hao lakini siku inayofuata wanarudi tena na kupiga kambi kama hakuna tukio lililotokea jana yake!
OFM waliondoka eneo la tukio na kuwaacha askari hao na ‘watuhumiwa’ wao wakisubiri namna ya kufika kwenye Kituo cha Polisi Kijitonyama ‘Mabatini’, Dar kwa hatua zaidi za kisheria. 


KIJIWENIBONGO@